TYLYIMO NIMO
Member
- Jan 18, 2013
- 10
- 8
mkuu hata mm nimehangaika nayo usiku kucha ila nimewapigia wameniambia wanafanya maintenance tuwe na subira
Wapigie tena mkuu
tena?
rubii katika ubora waketena?

rubii katika ubora wake
GPA umevuka lakini teh teh
Mhhh we acha, nina 3.5 taslim tena iliyopatikana kwa mbinde kweli kweli ikiwemo kutumia visaidizi vya namna mbalimbali.
Hongera sana
Ata mm nahic ivyo ivyoWewe connection yako haiko sawaa