abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Kiufupi majuzi nimerekodi harusi ya mtu, nilitumia sd card na baada ya kazi nilikuta clips muhimu sana hazimo kwenye card. Clips nyingine zimo na nyingine hazimo. Kazi hii nimefanya mwenyewe na nina uhakika kuwa camera ilikuwa ON muda wote na kitufe cha RECORD nacho kilikuwa ON pia.
MASWALI: Kitu gani chaweza kuwa kisababishi?
2. Je clips ambazo sizioni zaweza kuwa zimo?
3. Naweza fanya nini?
Asante
MASWALI: Kitu gani chaweza kuwa kisababishi?
2. Je clips ambazo sizioni zaweza kuwa zimo?
3. Naweza fanya nini?
Asante