asante mkuuNenda DIT kule ilemela njia ya kwenda airport utapata jawabu.
Ila kama una muda download vitabu, tutorial video jifunze. Miezi 6 ya nguvu hautokua kama ulivyo sasa
asante mkuuNenda DIT centre hapo Posta karibu na uwanja wa Nyamagana
Niko mwanza ila kiukweli siwezi kukubrash nitakuwa nimekuibia kwakuwa huna msingi wa computer atleast bro unahitaji computer course usije tengeneza android apps hata hujui memory inafanyaje kazi . Nenda nenda kale course ya computer kwanza alafu njoo BugandoHabari
Naomba kujua sehemu wanakofundisha masomo ya computer kwa upande wa programming na coding kwa hapa mwanza.
Ada ni sh ngapi?? na ni wapi?
Binafsi sina msingi wa masomo ya computer...kwa hiyo sijui chochote kwa upande huo..
Asanteni