KB THE DON
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 243
- 108
Kama kichwa cha habari hapo nimepata tatizo la power supply unit ya cannon photocopy machine iliharibika/kufa kwa kuungua na umeme nmejaribu kwa mafundi imeshindikana kutengenezeka hvyo naomba ambae atakuwa anafaham namna ya kupata hiki kifaa kwa apa Tanzania anifahamishe tafadhari msaada wenu wakuu mambo hayaendi
Specification zake ni kama inavyoonekana kwenye picha
Specification zake ni kama inavyoonekana kwenye picha