mboromi lade
Member
- Jun 12, 2017
- 39
- 61
Mwenye kunielewesha zaidi karibu*kumbe*
Hapana hata huko hamna kituKwenye watsup
Mwenye kunielewesha zaidi karibu
Whatsap imefanya kazi vipi na humu jamii forum??*hi*
[kumbee]
Asante Mkuu whatsap nimeweza bado humuUkitaka ku bold maneno whatsaap unaweka nyota mbili ** kati ya maneno unayotaka kuyabold.Yan kama unataka kubold neno JINI unaandika *JINI*
Na kama unataka ku bold humu JF unatakiwa kuwa na hii setup katikati ya hayo maneno unaweka maneno unayotaka ku bold.KUMBUKA KATIKATI YA MANENO NA HAYO MABANO USIACHE NAFASI.Mfano naweka katikati neno JINI yan JINI
[
Tooobaa
Mobile application mkuuMtoa mada Unatumia WEB VIEW AU MOBILE APP KUINGILIA JF?
Kwangu imekubali kwa upande wa whatsapHapana hata huko hamna kitu