Kweli kuuliza sio ujinga! Hata wakikucheka, ushatoa ujinga, utakuwa mjanja wa luku
Elf 5 ya mwanzo ilikataliwa kwa sbb ulitakiwa kulipia service charge around 6000, na unalipia hiyo service charge kila mwanzo wa mwezi, ukishalipia hiyo ndo hela zinazobaki unanunua units zako, ndo maana elf 8 ya pili ulipata units nyingi zaidi manake hukuwa na deni tena!
so unapoanza mwezi unatakiwa utoe at least elf 10 ili upate units za kutosha, then waweza hata kuwa unanunua units za buku 2 mbili, note hiyo service charge n kila mwezi, so hata usipotumia umeme mwezi mzima, next month utadaiwa service charge ya miez mi2! So n bora kulipa kila mwez kuepuka machungu