habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k. msaada wengine wageni pale.
habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k. msaada wengine wageni pale.
habari zenu wana mzumbe, naombeni kujua lini mwisho wa kulipa tution fee.halafu kwani tunalipa kila kitu kupitia akaunti ya chuo au vingine tunalipia main camp. KM ada ya MUSO,hostel fee n.k. msaada wengine wageni pale.
muso inalipiwa bank ndio,na hostel pia wewe unatakiwa kuja na pay in sleep zako tu pia hakikisha utakapokuja kufanya registration uwe ushalipa ada vinginevyo itakucost:A S-confused1:
Dah! napenda Mzumbe jamani. pale pana mtindo fulani wa maisha binafsi nimeona ni wa pekee tofauti na vyuo vingi hapa Tz hasa vyuo vilivyo maeneo ya mijini. Nilikuwa pale 2000-2002. Nitarudi tena kwa utalii wa ndani... Panapo Uhai na Afya njema.