Msaada wana jukwaa kuhusu application iitwayo "Mrs tools"

Msaada wana jukwaa kuhusu application iitwayo "Mrs tools"

hewizet

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
2,494
Reaction score
1,632
Application tajwa hapo juu inatumika katika kuflash ku-unlock simu kama vile blackberry,iphone pamoja na zile za android,ningependa kupata msaada juu ya link ya kuipata program husika, kui install kama kuna mdau mwenye nayo anisaidie nimejarbu pirates sites nyingi sana bila mafanikio!

Application hii pia hutumika ku unlock modem za aina mbalimbali !

NAWASILISHA
 
Andika email yako nitakutumia hiyo inauzwa online kuipata ni majanga
 
weka hapahapa mambo ya email cyo, hi ni forum waanga ni weng
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom