Z zinc20 Member Joined Dec 4, 2014 Posts 25 Reaction score 7 Dec 25, 2014 #1 samahani sana,nimepoteza kadi yangu ATM,ya benki ya DCB,sasa nataka kutoa pesa ktk ATM.kupitia huduma ya m pesa..sasa mwenye uzoefu kidogo na haya makitu naomba anisaidie.
samahani sana,nimepoteza kadi yangu ATM,ya benki ya DCB,sasa nataka kutoa pesa ktk ATM.kupitia huduma ya m pesa..sasa mwenye uzoefu kidogo na haya makitu naomba anisaidie.