Umeitwa kazini mkuu, maana wenzio washapigia simu wakachukue barua zao, any way utakuwa miongoni mwao, Hii taarifa ni ya kweli na si jokes ndugu yangu alifanya saili zote mbili (written & oral) kapigiwa simu since last week akachukue barua na kituo chake cha kazi ni Masasi.