msaada wale wa st. joseph college of engineering

msaada wale wa st. joseph college of engineering

Abiola

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
22
Reaction score
1
Wakuu.. naombeni mnijuze kuhusu St. Joseph, nimechaguliwa bs of civil engineering tafadhal
 
Swali lako lipo general sana.jaribu kuspecify unataka msaada kwenye angel ipi?
 
Nimavyopajua pale maisha sio cost, coz room bei rahisi sana. Maji na umeme vinapatikana.
Labda michango michango ya ndani ya. Chuo.
 
Thanx.. pia vip kuhusu maisha ya pale mana wengne wananiambia ni cost full. Kuna ukwel apo mkuu?

Chuo ada ni kubwa kama milioni 2 hivi na upuuzi..na bodi hawalipi yote so itakulazimu kulipa kiasi kikubwa kwa mwaka.
 
Possible loan kama 1.5, so una zaidi ya 1.2 ya kulipa kwa mwaka, pamoja na ada za mitihani.
Usiombe upate supp maana utailipia. Kwa elimu napenda wanavyombana mwanafunzi kuingia vipindi vyote. Obviously watakua competent.
 
hivi vyuo vya wahindi na watu wa nje viko juu mno khaa. hata kama ni biashara sio ivo. mf st jose, imtu.
mungu atujalie tukatie msul jembe mm nimechaguliwa computer science software engineering ruco
 
Possible loan kama 1.5, so una zaidi ya 1.2 ya kulipa kwa mwaka, pamoja na ada za mitihani.
Usiombe upate supp maana utailipia. Kwa elimu napenda wanavyombana mwanafunzi kuingia vipindi vyote. Obviously watakua competent.

Mekupata mkuu
 
Back
Top Bottom