Kama alivyoshauri Fatma chomoa kila kitu kisha izime na iache dk 3 kisha washa na endelea,
Kama ni laptop ukisha zima toa betri kisha mofya kiwashio kwa sekunde kadhaa kisha rudishia na uiwashe kisah endelea.
Ikigoma inawezekana driver za modem zimekorofisha, kama mtaalamu unistall kisha install upya dashbord ya modem yako