Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,078
- 1,227
Habari wakuu , natumai ni wazima was afya, naombeni msaada ya tatizo hili yapata mwaka na nusu sasa na tatizo la kuwashwa au kuchinyota nyia ya haja kubwa , ngozi ya mwili kuwasha , kusikia njaa kila mara na joint kuuma , nimeenda sana hospital kubwa na ndogo nimesafanya vipimo vingi sana kama , typhoid, kisukari, minyoo huwa nakutwa nayo napewa dawa dalili zinapotea Alf zinarudi tena sijajua nini shida inayonisbu naombeni msaada