Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu nakumbuka nilishawahi kuona hii fomula humu jamvini lakini ilikuwa zamani sana naomba kama kuna mtu ambaye anayo anitumie hiyo fomula ya TRA matapeli.
Asanteni.
Asanteni.
TRA wanakuwaje matapeli? Shida za Watanzania hatujui haki zetu na kila kitu tunataka kutoa posho tukifikiri kuna upendeo tunapewa wakati TRA wao wanatoza kodi kamili na iliyo halali kwa mujibu wa sheria.
Kitu ambacho sielewi hapo ni kwa nini wanatoza Kodi juu ya kodi? Ni wizi wa wazi aisee
Kwenye import kuna Import Duty
Baadaye VAT ambayo ni (CIF + Import duty)X18%
Kodi juu ya kodi inatoka wapi? Nachofahamu Watanzania wote tu wezi, ukinunua kitu cha USD 3,000 utaomba anayekuuzia akutengenezee invoice ya USD 1500; Bahati mbaya TRA wana ACCESS za Internet za suppliers hivyo bei za vitu kama gari siyo siri
Mpendwa Augustino... Wewe ni Mwizi??
Ninachouliza ni kwamba, wamekata Kodi ya Import, ya Excess na mengineyo... then VAT inakuja kuwa calculated kwenye hizo zote...
Mpendwa Augustino... Wewe ni Mwizi??
Ninachouliza ni kwamba, wamekata Kodi ya Import, ya Excess na mengineyo... then VAT inakuja kuwa calculated kwenye hizo zote...
Hamna formula inayoeleweka wanaotumia hawa TRA unaweza kuleta magari ya aina moja,mwaka mmoja lakini ukashangaa tofauti ya ushuru/kodi.Mi naona inategemea ofisa ana mood gani,kaamkaje asubuhi,kagombana home e.t.c.
Hamna formula inayoeleweka wanaotumia hawa TRA unaweza kuleta magari ya aina moja,mwaka mmoja lakini ukashangaa tofauti ya ushuru/kodi.Mi naona inategemea ofisa ana mood gani,kaamkaje asubuhi,kagombana home e.t.c.