Kwa dar nadhani maduka ya vifaa vya maabara ila ukienda huko kanda ya ziwa hasa naeneo ya kuchimba dhahabu inauzwa kwa wingi sana. Kama uko mikoa ya kati unaweza kwa urahisi ukienda nzega,jaribu hayo maeneo.[/uryQUOTE]
huyo mtaka mercury aende morogoro mzinga jeshini atauziwaa huko watu wote wanaitoa huko