Ni rahisi sana ndugu, wakati umefungua kile kisehem cha kuandikia utaona sehem ambayo nimeizungushia rangi ya njano kwenye hii picha niliyoiwekaa, wewe iclick iyo sehem baada ya hapo browse mpaka sehem ulipoweka picha yako kwenye computer kisha upload, na picha itakua attached
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.