chiddy boy
Member
- Jan 2, 2017
- 86
- 25
Sawa mkuu nmekupataNursing ni nzuri.anza na hiyo
Kwa sayansi vipi tena mkuu mbona hujamaliza????Naona Physics f hapo kwa sayansi
Huwezi kusoma afya, uhandisi kama una F ya physics so hapo labda ni ualimu primary na masomo ya Business na Community Health piaKwa sayansi vipi tena mkuu mbona hujamaliza????
Siyo hivo na pia siyo mpiga chabo mimi ndio maana nmekuja APA kuomba ushauri wenu juu ya hiliUmewezaje kupata math C alafu physics F???Mpiga chabo wewe, hufai kusoma kozi yoyote
Hapo nenda EGM ni coz ya biasharaMe nimehitimu kidato cha nne mwaka jana,nilikuwa naomba ushauri wenu wakuu,kupitia matokeo yangu haya yafuatayo,
English B
Math C
Bios C
Geo C
Chem D
Phyz F
Kiswa C
History D
Civic D
Kupitia matokeo hayo ni coz gani ya science ingeweza kunifaa ili niweze kufanya application niweze kupitia diploma,au coz yeyote ile ya business,ushauri wenu wakuu nahitaji kwa hili
Je mwanilivyo pata naweza nikapangiwa comb ya EGM kwa shule ya serikali maana ndio niliiweka kuwa ya pili katika uchaguzi wa combinationHapo nenda EGM ni coz ya biashara
Ngoja tusubiri majibu wote tujueKwani credit ni kiasi gani siku hizi; ni d au c
Me nimehitimu kidato cha nne mwaka jana,nilikuwa naomba ushauri wenu wakuu,kupitia matokeo yangu haya yafuatayo,
English B
Math C
Bios C
Geo C
Chem D
Phyz F
Kiswa C
History D
Civic D
Kupitia matokeo hayo ni coz gani ya science ingeweza kunifaa ili niweze kufanya application niweze kupitia diploma,au coz yeyote ile ya business,ushauri wenu wakuu nahitaji kwa hili
Sawa mkuu nmekuelewa ahsante kwa ushauri wakoKwa sayansi naona huna option, zaidi naona usome kozi za business, Accounts, Computer science na IT kwa ushauri zaidi pitia vyuo mbalimbali uone join instructions zao kwa level ya Cert na DP. Kumbuka NACTE wamejitoa kwenye udahili ispokuwa kwa kozi za afya na ualimu, hivo nivema kama unakuwa na access ya net, pata orodha ya vyuo kupitia NACTE, Alafu pitia chuo kimoja kimoja na kwa vile ulivyo navyo karibu watembelee wakushauri na ikiwezekana omba kuply kwa kupitia panel ya chuo husika.
Nimekuelewa ahsante mkuuKwa hapo EGM inakufaa tu mkuu na kama ulivyosema uliichagua basi hapana shaka unawezapangiwa hiyohiyo.
Safii mzee yanii hapo umemaliza hakuna additional matters safisana dogo ana F ndo kashajiaribiaHuwezi kusoma afya, uhandisi kama una F ya physics so hapo labda ni ualimu primary na masomo ya Business na Community Health pia
Hahhahhhah its doesnt bring any relevance etii physics F math C duuuUmewezaje kupata math C alafu physics F???Mpiga chabo wewe, hufai kusoma kozi yoyote