NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Habari wakuu, Mimi ni graduate ninaeendelea kusaka ajira. Katika kipindi hiki cha utafutaji wa ajira nimekuwa sina kazi yoyote ya kuniingizia kipato chochote cha kupata pesa kidogo kwa ajili ya matumizi yangu ikiwa ni pamoja na kupata pesa ya kuendelea kutumia application mbalimbali pamoja na kupata pesa ya nauli kuhudhuria interview ninapokuwa nimeitwa.
Nimekaa na kutafakari nimeona nianzishe kibanda cha uwakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel money.Nimejaribu kufuatilia nimeambiwa tigo pesa kwa sasa hawachukui mawakala wapya, ila wiki iliyopita nilifika ofisini kwao wakaniambia ninaweza kupata nafasi maana wanamchakato wa kuwapa watu namba kutoka kwa mawakala wanaoonyesha kutokuzitumia ila inabidi uwe na Tin number pamoja na lessen ya biashara na kianzio cha milioni moja. MPESA pia wakasema kianzio ni laki tano, AIRTEL MONEY ni laki mbili na nusu ila requrement zingine zinafanana. Naomba mnisaidie mambo yafuatayo.
(1) Ni jinsi gani ninaweza kupata mkopo wa kukamilisha requrement hizo? na wapi naweza kupata mkopo
huo(SIMILIKI MALI YOYOTE HISIYOHAMISHIKA)
(2) Kwa wenye uzoefu na kazi hii inawezachukua muda ganikulipa mkopo husika matharani kama nikikopa milioni
mbili ilikuanzisha mradi huu?
(3) Nina TIN NUMBER niliyoipata kipindi naomba lessen ya udereva je hii inafaa kwenye ile requrement ya kuwa
na tin number au siyo ya namna hii? Pia mchakato wa kupata lessen ya biashara TRA ukoje?inaweza nigharimu
shilingi ngapi na inaweza chukua muda gani kuipata?
(4) Nimeambiwa unaweza nunua line ya tigopesa kwa muda aliyenayo lakini yeye pengine kwa sasa haitumii na
katika kupeleleza naambiwa zinauzwa kati ya laki nne na laki saba je ukisha nunua kwa mtu hivi unaenda
tena ofisi za tigo ilikuweka kile kianzio cha milion moja au ndo basi kwa kuwa muhusika aliweka kipindi
anaichukua?
Natanguliza shukurani wadau michango yenu ni muhimu sana kwangu.
Nimekaa na kutafakari nimeona nianzishe kibanda cha uwakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel money.Nimejaribu kufuatilia nimeambiwa tigo pesa kwa sasa hawachukui mawakala wapya, ila wiki iliyopita nilifika ofisini kwao wakaniambia ninaweza kupata nafasi maana wanamchakato wa kuwapa watu namba kutoka kwa mawakala wanaoonyesha kutokuzitumia ila inabidi uwe na Tin number pamoja na lessen ya biashara na kianzio cha milioni moja. MPESA pia wakasema kianzio ni laki tano, AIRTEL MONEY ni laki mbili na nusu ila requrement zingine zinafanana. Naomba mnisaidie mambo yafuatayo.
(1) Ni jinsi gani ninaweza kupata mkopo wa kukamilisha requrement hizo? na wapi naweza kupata mkopo
huo(SIMILIKI MALI YOYOTE HISIYOHAMISHIKA)
(2) Kwa wenye uzoefu na kazi hii inawezachukua muda ganikulipa mkopo husika matharani kama nikikopa milioni
mbili ilikuanzisha mradi huu?
(3) Nina TIN NUMBER niliyoipata kipindi naomba lessen ya udereva je hii inafaa kwenye ile requrement ya kuwa
na tin number au siyo ya namna hii? Pia mchakato wa kupata lessen ya biashara TRA ukoje?inaweza nigharimu
shilingi ngapi na inaweza chukua muda gani kuipata?
(4) Nimeambiwa unaweza nunua line ya tigopesa kwa muda aliyenayo lakini yeye pengine kwa sasa haitumii na
katika kupeleleza naambiwa zinauzwa kati ya laki nne na laki saba je ukisha nunua kwa mtu hivi unaenda
tena ofisi za tigo ilikuweka kile kianzio cha milion moja au ndo basi kwa kuwa muhusika aliweka kipindi
anaichukua?
Natanguliza shukurani wadau michango yenu ni muhimu sana kwangu.