Msaada wakuu jinsi ya kuhama chuo

Msaada wakuu jinsi ya kuhama chuo

UDSM Alumni

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
2,555
Reaction score
1,389
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mwaka huu inawezekana kuhama course na chuo yani nataka kuhama kutoka forestry sua kuhamia wildlife and conservation udsm kwa anayezijua procedure anijuze.....
 
Shida kupishana kati ya course. Maana unaweza uhame forestry wakati labda corse ya flora and fauna imesha fundishwa na kule hujaisoma. Ila kama mpo sawa. Ungoea tu na DDAA nakile chuo ukitakacho fasta utahama. Ila sometimes wanataka sound reason
 
Wadau nipeni ushauri nilipata vyuo viwili udom na mzumbe na mimi ni mtumishi wa serikali idara ya elimu nili confirm vyote bahati nzuri mzumbe wamewahi kunitumia joining kabla ya udom. Na barua zangu za kwenda kusoma niliomba kwa kutumia kozi ya mambo ya elimu nimepitishiwa barua zangu ila lengo ni kwenda mzumbe ambako wamewahi kunitumia joining naweza kwenda kisha nikamjulisha muajiri kuwa nilihamia mzumbe na kozi ni tofauti na niliyoombea ruhusa?
 
Wadau nipeni ushauri nilipata vyuo viwili udom na mzumbe na mimi ni mtumishi wa serikali idara ya elimu nili confirm vyote bahati nzuri mzumbe wamewahi kunitumia joining kabla ya udom. Na barua zangu za kwenda kusoma niliomba kwa kutumia kozi ya mambo ya elimu nimepitishiwa barua zangu ila lengo ni kwenda mzumbe ambako wamewahi kunitumia joining naweza kwenda kisha nikamjulisha muajiri kuwa nilihamia mzumbe na kozi ni tofauti na niliyoombea ruhusa?
Ni kosa kisheria kuconfirm vyuo viwili,ulipaswa kuchagua sehemu moja,
Suala la kumwambia mwajiri wako ni vyema..umweleze ukweli hata akiiupinga uwe na plan B
 
Back
Top Bottom