Msaada wakuu internet ya vodacom Tanzania

Msaada wakuu internet ya vodacom Tanzania

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
wakuu nililipia internet ya vodacom.. Unlimited ile ya elfu 30, nimetumia kwa wiki moja tu naona haifanyi kazi inakataa kuunga toka jana, wakati inatakiwa iishe baada ya mwezi mmoja.
So wadau naomba mnijuze jinsi ya kuangalia salio ama kama kuna mtu anajua kitu gani kinaendelea.
Asanteni wadau.. Pamoja sana
 
Sina uhakika kama bado yako imeisha ila kwangu binafsi internet ya voda imekata toka juzi na wakati bundle ipo.
 
Sina uhakika kama bado yako imeisha ila kwangu binafsi internet ya voda imekata toka juzi na wakati bundle ipo.

Kwa hiyo kaka hili litakuwa ni tatizo la voda com wenyewe
 
Kaka kuna 3g kitaa kwako? Bando la unlimited la voda linafanya kazi kukiwa na 3g peke yake. Ktk edge au gprs labda kwenye simu mkuu. Mwenyewe nilisha wahi kulia sana na ata msaada wowote hawawezi kukupa.
Try this... chomeka moderm yenye chip ya hiyo voda yako, kabla hujaunganisha nenda ktk network option weka wcdma preferred, usiweke automatic au edge preferred.. if am nat wrong
 
Kaka kuna 3g kitaa kwako? Bando la unlimited la voda linafanya kazi kukiwa na 3g peke yake. Ktk edge au gprs labda kwenye simu mkuu. Mwenyewe nilisha wahi kulia sana na ata msaada wowote hawawezi kukupa.
Try this... chomeka moderm yenye chip ya hiyo voda yako, kabla hujaunganisha nenda ktk network option weka wcdma preferred, usiweke automatic au edge preferred.. if am nat wrong

Hujakosea sana. Ila nashauri aweke WCDMA Only badala ya prefered.

Halafu namimi naomba kuuliza,kuna jamaa yangu ameniambia alinunua bundle hiyo ya unlimited ya 7 days, akatumia hata baada ya kuisha zile 750MB za max speed,bado speed iliendelea kuwa juu(haikushuka kuwa 62kbps kama wanavyosema), je kuna ukweli wowote? Maana mimi nilishaacha kutumia hiyo bundle kwa sababu ya speed kudrop sana.
 
nilidhani ni mie peke yangu..mie wameniibia kama mara 2 hivi..sasa ivi nimeamua kua na dedicated line kwa ajili ya modem tu.
 
yup kweli, ila itategemea eneo ulilopo. Nishawahi kutana na hilo zali
 
Ndio. Kwamba kuna baadhi ya maeneo ukiwepo, ile speed inapitiliza inaendelea hivo hivo hadi mwisho. Mfano mimi niliunga unlimited ya month, wakaniambia after a week speed itapungua.. but ilibaki ile ile... hadi mwisho. Nika muuliza somebody akaniambia eneo nililopo lina net nzuri.. nadhani 3G ikiwa safi inahusika
 
hiyo maranyingi inatokea ukiwa na hizi mordem zao mpya zenye speed ya 7.2 Mbps na eneo lako kama 3g iko full inashindwa kuji control speed mana hizi mordem mpya zinafungua speed ya net balaa..... sasa wakati zile mb 750 zinapokwisha na wewe uko full speed zinaunganisha tu mwendo mdundo nimesha zi time sana kabla mb 750 hazijaisha una ifanyia timing tu kama imebaki mb 50 unadownload file la mb 100 ili iweze kuunganisha
 
hiyo maranyingi inatokea ukiwa na hizi mordem zao mpya zenye speed ya 7.2 Mbps na eneo lako kama 3g iko full inashindwa kuji control speed mana hizi mordem mpya zinafungua speed ya net balaa..... sasa wakati zile mb 750 zinapokwisha na wewe uko full speed zinaunganisha tu mwendo mdundo nimesha zi time sana kabla mb 750 hazijaisha una ifanyia timing tu kama imebaki mb 50 unadownload file la mb 100 ili iweze kuunganisha

Nimekusoma mkuu. Nawezakubaliana na wewe kwamba kweli kuna wakati unawezapata hata 1gb hasa unapokuwa unadownload file kubwa la >1gb,zikiisha zile 750MB inaendelea. Lakini hata hivyo maisha yake yanakuwa si marefu kihivyo.

Anyway,mi natumia modem ya zain(ya zamani) niliyochakachua,kwa hiyo haitawezekana kunufaika na hiyo kitu?
 
Back
Top Bottom