kuna mdogo wangu anatokwa na vipele,akimeza dawa za aleji,vinaisha,kisha vinarudi tena!nimempeleka hospital moja wamedai nikamfanyie aleji test kwenye hospital kubwa,mi nipo dar.je hii inaweza kuwa na gharama kiasi gani?
Ni vipimo vinavyofanywa ili kujua anadhulika na kitu gani, iwe ni chakula au chemicals. Madaktari wa ngozi wanaweza kukusaidia vizuri zaidi. mara ya mwisho kulikuwa na Daktari ana-visit pale Dar group au unaweza kutembelea muhimbili.
Hapo dar zipo dispensari nyingi za kupima iyo kitu, mi nilipimiwa kule RTD, unachomwa visindano vingi vya dawa kwenye mkono, vikoreact kwa kuvimba, wanasoma kwe guide, afu wanakuambia una allergy gani.