Msaada wako wa haraka unahitajika.

Msaada wako wa haraka unahitajika.

Chachasteven

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
1,941
Reaction score
2,048
Jamani wana Jf naombeni mnisaidie,
nahitaji kununua computer leo lakini sijajua nianzie wapi?
au ninunue computer gani?
hivyo basi naombeni mnisaidie wataaalamu ninunue ipi?
na ni vitu gani vya kuzingatia vya umuhimu vya kuangalia.
nna Tsh 650,000wakuu!!!
 
RAM,PROCESSOR,NA KAMA MAHITAJI YAKO NI KUTUNZA VITU VINGI ZINGATIA HARD DISCK kwa computer zilizo sokoni ni Apple,Dell,Summsung,na Hp kaka h4zo ndo muhimu Apple bei ndo mpango mzima na ndo classic ikifuatiwa na Sammsung
 
RAM,PROCESSOR,NA KAMA MAHITAJI YAKO NI KUTUNZA VITU VINGI ZINGATIA HARD DISCK kwa computer zilizo sokoni ni Apple,Dell,Summsung,na Hp kaka h4zo ndo muhimu Apple bei ndo mpango mzima na ndo classic ikifuatiwa na Sammsung

Vp Samsung naweza pata kwa hyo pesa 650,000 .!!
RAM ngapi???
Processor pia??
Nisaidieni?
 
Vp Samsung naweza pata kwa hyo pesa 650,000 .!!
RAM ngapi???
Processor pia??
Nisaidieni?

Angalia processor kuanzia coi3, ram 4gb na pia check graphic zake km itawezekana. Hdd apo utaangalua na uwezo wako ktk kuhifadhi v2.

Hako ndo kamchango kangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom