salaam wadau.
Wataalam wa bei za magari na wajanja wote wa mjini hebu nipeni bei hata kama sio fixed lakini makadirio. Nahitaji pickup nzuri tone 1 (tani moja) kwa show room za Dar es salaam ni Tsh ngapi? Niko kigoma mbali sn na dsm so naomba msiniambie kwanini nisiende show room kuuliza nahitaji kujipanga kabla sijaja mjini.
Iwe Nissan Datsun model nzuri au ya Toyota pickup please nipeni bei zake mi sio mzoefu wa magari.
Ntashukuru sn kupata mwanga. Pia mnishauri model ipi ni nzuri na wapi ntapata
Wataalam wa bei za magari na wajanja wote wa mjini hebu nipeni bei hata kama sio fixed lakini makadirio. Nahitaji pickup nzuri tone 1 (tani moja) kwa show room za Dar es salaam ni Tsh ngapi? Niko kigoma mbali sn na dsm so naomba msiniambie kwanini nisiende show room kuuliza nahitaji kujipanga kabla sijaja mjini.
Iwe Nissan Datsun model nzuri au ya Toyota pickup please nipeni bei zake mi sio mzoefu wa magari.
Ntashukuru sn kupata mwanga. Pia mnishauri model ipi ni nzuri na wapi ntapata