[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Yaaani ni mekupenda bureee!
Wako watu hata kadi ya clinic haijui inaandikwaje!
Ndio hadi mtoto anakua hajui jina la baba kwenye kadi ni lake au kabambikiwa!
Kalenda ya mkewe ziroooo,akiambiwa Leo tarehe mbaya anakubaka tuuu utajijua mwenyewe, ukidungwa sindano ya uzazi , k imepoa imeloa
...........
Na wengine mengiiiii!
Hongereni wanaume wenye upendo wenye umakini!
Natamani wanangu wapate wanaume kama wewe!
Nakijana wangu najitahidi kimfundisha mapenzi ya ukweli,
I salute you chichimizi![emoji123]