Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Habarini wakuu,
Ni muda sasa nguo zao zimekua zikipotea katika mazingira ya kutatanisha ama kuchanwa na vipande kutokuonekana. Kipindi cha mwanzo nilihisi panya, lakini ninejiridhisha haiko hivyo. Ni hawa wataalamu jadi "wachawi" wakichukua.
Siku za hivi karibuni nimekua nikikuta hata viatu nimekeishawekewa soksi, kali zaidi jana wameniwekea vishikizo katika shati (nilinunua shati jipya ili nivae, nikalinyosha, asubuhi nakuta vishikizo/vifungo viwili hakuna na kimoja kimewekwa ambacho si cha kufanana na ile shati)
Cc: mshana jr, hr666
Ni muda sasa nguo zao zimekua zikipotea katika mazingira ya kutatanisha ama kuchanwa na vipande kutokuonekana. Kipindi cha mwanzo nilihisi panya, lakini ninejiridhisha haiko hivyo. Ni hawa wataalamu jadi "wachawi" wakichukua.
Siku za hivi karibuni nimekua nikikuta hata viatu nimekeishawekewa soksi, kali zaidi jana wameniwekea vishikizo katika shati (nilinunua shati jipya ili nivae, nikalinyosha, asubuhi nakuta vishikizo/vifungo viwili hakuna na kimoja kimewekwa ambacho si cha kufanana na ile shati)
Cc: mshana jr, hr666