Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Sawa. Ila hawa wahindi usikute ndio anabisha hodi ikulu hivyo, apate nafasi ya kuwa karibu na rais. Wana mikakati sana ambayo huwa inatengenezwa jamatini.
kwani waliokuwa wamelala chini ..walikuwa wamelala nje ya wodi au ndani ya wodi
ila chini ya sakafu...? we wapi bana.
Najua ukihoji 'juhudi' kama hizi utaonekana mbaya lakini ukweli ni kwamba mfumo uliopo ndio unawezesha mbunge asiye na msaada wowote kilipwa milioni 250 kama kiinua mgongo wa miaka mitano huku television na magazeti yote yakitanda picha za 'mtoa msaada' wa shilingi milioni tano!
Sasa hapo ni Muhimbili kwa vile rais alienda, na Nkasi je mbona hata syring na panadol hawana!? Ni vizuri kuuangali mfumo mzima badala ya kutarget pages za mbele za media.
Ukiongeza vitanda lazima uongeze na majengo ya wodi za kuweka hivyo vitanda.
Kweli wanaweza wakapeleka kwenye dispensary binafsiSafi sana. Nadhani wale wagonjwa waliokuwa wanalala chini inabidi walazwe kwenye hivyo vitanda na wapige picha watuoneshe maana hawachelewi kuvihamishia kwenye hospitali zao binafisi
Ukiongeza vitanda lazima uongeze na majengo ya wodi za kuweka hivyo vitanda.