Msaada wa virus kwenye pc

Msaada wa virus kwenye pc

Kurunzi

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
10,175
Reaction score
11,572
Wadau pc yangu ilivamiwa na virus ambaye aliathiri program hali iliyopelekea zikawa haziwezi kurun, nilipofanya scanning ilifanikiwa kunasa trojan wawili (2) .


Hata hivyo antvirus imeweza kuwafound lakini inashidwa kuwawaclean tafadhali naombeni msaada jinsi ya kuwatoa kabisa na Antvirus ninayoyotumia ni NOD32.

win32/spy.zbot.aau trojan na mwingine ambaye sijafanikiwa kumnote down.

Thanks
 
Ndio maana mimi kila siku naamini sana Microsoft Esential(MSE) kuliko antivirus zingine zote.Ukiwa na updated MSE na daily una-update windows yako vitu vidogo vidogo kama hivyo havitakusumbua akili.Kwanza Microsoft wanatuma security updates kila siku kwenye windows ambazo zinafanya kazi vizuri sana na MSE.

Hizi ndude wengine nyie mnaziita Commercial Antivirus kila siku wanatengenezwa virus wapya,na kama ilivyo kawaida,hakuna antivirus iliyo perfect 100% mtaendelea kuumia vichwa mpaka basi..
 
Ndio maana mimi kila siku naamini sana Microsoft Esential(MSE) kuliko antivirus zingine zote.Ukiwa na updated MSE na daily una-update windows yako vitu vidogo vidogo kama hivyo havitakusumbua akili.Kwanza Microsoft wanatuma security updates kila siku kwenye windows ambazo zinafanya kazi vizuri sana na MSE.

Hizi ndude wengine nyie mnaziita Commercial Antivirus kila siku wanatengenezwa virus wapya,na kama ilivyo kawaida,hakuna antivirus iliyo perfect 100% mtaendelea kuumia vichwa mpaka basi..

Mkuu awali nilikuwa na hiyo Macrosoft Esental haikufua dafu ikaipiga chini inainstall Nod32 ndiyo ikawaona hao wadudu ila tatizo haiwezi kuclean.
 
Download na activate free trial ya Kaspersky Internet Security 2013 then update hio halafu scan pc yako yote, itatoa huyo spyware. Nilikuwa na hao viruses uliosema na Kaspersky Internet Security 2013 ikawatoa, usi-download Kaspersky Antivirus 2013, bali download hio Kaspersky Internet Security 2013
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom