U ulanzi mtamu Senior Member May 19, 2012 102 11 Mar 24, 2014 #1 Habari wadau,narudi tena kwenu kuomba msaada wa ushauri namna ya kufanya biashara kwa mtaji wa kuanzia mil.1.5 NATANGULIZA SHUKRANI!
Habari wadau,narudi tena kwenu kuomba msaada wa ushauri namna ya kufanya biashara kwa mtaji wa kuanzia mil.1.5 NATANGULIZA SHUKRANI!
uporo wa wali ndondo JF-Expert Member Dec 3, 2013 3,455 2,237 Mar 24, 2014 #3 Kutokana na jina lako, 1,500,000/= inatosha sana ,, njoo nikuoneshe bar yenye mademu wazuri.
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Jul 14, 2013 9,873 8,894 Mar 24, 2014 #4 Majina mengine yana cost. Maana hata kamaupo seriouse vipi basi ni ngumu sana kuwa approached na kupara msaada.
Majina mengine yana cost. Maana hata kamaupo seriouse vipi basi ni ngumu sana kuwa approached na kupara msaada.
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Jul 14, 2013 9,873 8,894 Nov 27, 2014 #7 Tangu march huo mtaji si ameisha ula?