Kwanza pole sana mkuu.Nimepimwa hepatitis B ni hivi :
HB2CAP96 160755iu/ml; je matokeo haya yanamaana gani kwa afya ya inni langu. Je nini nifanye..Nombeni ushauri wa dhat.
Kwanza pole sana mkuu.
Pili, ugonjwa wa Hepatitis B ni kati ya magonjwa ambayo matibabu na ufuatiliaji wake yanahitaji utaalamu wa ubingwa wa ubobezi kabisa (super speciality); Na wataalamu ambao wanaweza kutoa ushauri sahihi na kukufuatilia vizuri wanaitwa Gastro-enterologists. At the very minimum, basi inatakiwa upate at least a physician mwenye uzoefu ambae ndie ataweza ku interpret majibu ya vipimo vya ugonjwa huo kwa usahihi, na kutoa ushauri na tiba sahihi kwako pamoja na ufuatiliaji wa mara kwa mara kupitia kliniki.
Kwa nini nasema hivyo??
1.Majibu ya kipimo kimoja tu hayatoshi kutoa tiba na ushauri sahihi na sanifu kwa ugonjwa huu!!
2.Tiba na ufuatiliaji wa ugonjwa huu iko complex sana!! Kwanza, sio wagonjwa wote wa ugonjwa huu watahitaji matibabu, pia kuamua nani aanze matibabu inategemea na majibu ya vipimo kadhaa kwamba yamekaaje.
3.Maamuzi ya kusimamisha/kuendelea na tiba ya ugonjwa huu (iwapo utaanzishiwa tiba) inategemea pia majibu ya vipimo vya ufuatiliaji utakavyokua unaendelea kufanyiwa huku ukiwa kwenye dawa.
USHAURI WANGU.
This is the one disease that siwezi kumshauri mtu achukue ushauri wa online kama hapa jukwaani JF,maana kama nilivyoeleza awali,kwanza ni madaktari wachache sana wenye utaalamu na experience hiyo (i am not one of them). Pia, kukupa ushauri online kunaweza kupelekea wewe kutoelewa vizuri au kupotoshwa.
Sijui hiki kipimo umepima wapi, na pia sijui majibu ya vipimo vingine ambavyo ulichukuliwa;Cha kufanya jitahidi sana uende Hospitali ya Muhimbili as soon as possible (usichukulie poa ukazidi kupoteza siku,the earlier, the better), nenda pale ulizia kliniki ya HEPATITIS B (HOMA YA INI), watakupa maelekezo na utaambiwa cha kufanya. Najua ukifika pale kama hicho kipimo hukufanyia hapo watapenda kujiridhisha na kukuchukua upya hicho kipimo, pamoja na vipimo vingine kadhaa (si chini ya vipimo vitano!!).
Kama una bima ya NHIF,utapata nafuu coz vipimo vyote vimekua covered na bima,kasoro hicho cha Viral Load,ujipange uandae kama laki 3 hivi maana hakiko covered na NHIF (very unfortunately).
Baada ya majibu ya vipimo ukavyochukuliwa (itachukua kama wiki 2 hivi kupata majibu yote), then sasa daktari wako atakwambia nini kinafuata, kama ni kuanza dawa, ujaji wa kliniki, etc; hapo sasa muulize maswali yako yooteee!! (Usiogope,hii ni haki yako 100%).
Pole kwa maelezo marefu.
Kimla
Humshauri kupata ushauri jf alafu na wewe umetoa ushauri ndio nn sasa kua makini na maelezo yako maana unakinzana mwenyeweKwanza pole sana mkuu.
Pili, ugonjwa wa Hepatitis B ni kati ya magonjwa ambayo matibabu na ufuatiliaji wake yanahitaji utaalamu wa ubingwa wa ubobezi kabisa (super speciality); Na wataalamu ambao wanaweza kutoa ushauri sahihi na kukufuatilia vizuri wanaitwa Gastro-enterologists. At the very minimum, basi inatakiwa upate at least a physician mwenye uzoefu ambae ndie ataweza ku interpret majibu ya vipimo vya ugonjwa huo kwa usahihi, na kutoa ushauri na tiba sahihi kwako pamoja na ufuatiliaji wa mara kwa mara kupitia kliniki.
Kwa nini nasema hivyo??
1.Majibu ya kipimo kimoja tu hayatoshi kutoa tiba na ushauri sahihi na sanifu kwa ugonjwa huu!!
2.Tiba na ufuatiliaji wa ugonjwa huu iko complex sana!! Kwanza, sio wagonjwa wote wa ugonjwa huu watahitaji matibabu, pia kuamua nani aanze matibabu inategemea na majibu ya vipimo kadhaa kwamba yamekaaje.
3.Maamuzi ya kusimamisha/kuendelea na tiba ya ugonjwa huu (iwapo utaanzishiwa tiba) inategemea pia majibu ya vipimo vya ufuatiliaji utakavyokua unaendelea kufanyiwa huku ukiwa kwenye dawa.
USHAURI WANGU.
This is the one disease that siwezi kumshauri mtu achukue ushauri wa online kama hapa jukwaani JF,maana kama nilivyoeleza awali,kwanza ni madaktari wachache sana wenye utaalamu na experience hiyo (i am not one of them). Pia, kukupa ushauri online kunaweza kupelekea wewe kutoelewa vizuri au kupotoshwa.
Sijui hiki kipimo umepima wapi, na pia sijui majibu ya vipimo vingine ambavyo ulichukuliwa;Cha kufanya jitahidi sana uende Hospitali ya Muhimbili as soon as possible (usichukulie poa ukazidi kupoteza siku,the earlier, the better), nenda pale ulizia kliniki ya HEPATITIS B (HOMA YA INI), watakupa maelekezo na utaambiwa cha kufanya. Najua ukifika pale kama hicho kipimo hukufanyia hapo watapenda kujiridhisha na kukuchukua upya hicho kipimo, pamoja na vipimo vingine kadhaa (si chini ya vipimo vitano!!).
Kama una bima ya NHIF,utapata nafuu coz vipimo vyote vimekua covered na bima,kasoro hicho cha Viral Load,ujipange uandae kama laki 3 hivi maana hakiko covered na NHIF (very unfortunately).
Baada ya majibu ya vipimo ukavyochukuliwa (itachukua kama wiki 2 hivi kupata majibu yote), then sasa daktari wako atakwambia nini kinafuata, kama ni kuanza dawa, ujaji wa kliniki, etc; hapo sasa muulize maswali yako yooteee!! (Usiogope,hii ni haki yako 100%).
Pole kwa maelezo marefu.
Kimla
Umeambukizwa mini?si ukapime?Only the truth shall set you free!!!! Juzi tarehe 4 nimeenda kupima HIV, kuna kipindi nimecheza rough,tofauti na Mara zote nilizokuwa nikioima huwa napanic kidogo juzi nikawa nimerelax saaaaana mpaka nikaogopa nikajua Leo majibu yatakuwa + maana nimepoa kabisa!Thank Allah kwa muda nliocheza rough hadi Leo ningekuwa tayari yanasoma maana window period imepita!Mi nimenyonywa penis na mtu mwenye virusi nahisi nimeambukizwa sina raha wala amani kabisa
ahsanthe saaaaana una akir sana kwa point namb 1 , kwa mtu alopitia wizara ya afya nakuelewa kbs huwez kumpa mtu majibu kwa namna hiiii,, cheza nae psychological ila usimpe jibu, utaamaliza watu,, kuna mtu kasema apo juuKwanza pole sana mkuu.
Pili, ugonjwa wa Hepatitis B ni kati ya magonjwa ambayo matibabu na ufuatiliaji wake yanahitaji utaalamu wa ubingwa wa ubobezi kabisa (super speciality); Na wataalamu ambao wanaweza kutoa ushauri sahihi na kukufuatilia vizuri wanaitwa Gastro-enterologists. At the very minimum, basi inatakiwa upate at least a physician mwenye uzoefu ambae ndie ataweza ku interpret majibu ya vipimo vya ugonjwa huo kwa usahihi, na kutoa ushauri na tiba sahihi kwako pamoja na ufuatiliaji wa mara kwa mara kupitia kliniki.
Kwa nini nasema hivyo??
1.Majibu ya kipimo kimoja tu hayatoshi kutoa tiba na ushauri sahihi na sanifu kwa ugonjwa huu!!
2.Tiba na ufuatiliaji wa ugonjwa huu iko complex sana!! Kwanza, sio wagonjwa wote wa ugonjwa huu watahitaji matibabu, pia kuamua nani aanze matibabu inategemea na majibu ya vipimo kadhaa kwamba yamekaaje.
3.Maamuzi ya kusimamisha/kuendelea na tiba ya ugonjwa huu (iwapo utaanzishiwa tiba) inategemea pia majibu ya vipimo vya ufuatiliaji utakavyokua unaendelea kufanyiwa huku ukiwa kwenye dawa.
USHAURI WANGU.
This is the one disease that siwezi kumshauri mtu achukue ushauri wa online kama hapa jukwaani JF,maana kama nilivyoeleza awali,kwanza ni madaktari wachache sana wenye utaalamu na experience hiyo (i am not one of them). Pia, kukupa ushauri online kunaweza kupelekea wewe kutoelewa vizuri au kupotoshwa.
Sijui hiki kipimo umepima wapi, na pia sijui majibu ya vipimo vingine ambavyo ulichukuliwa;Cha kufanya jitahidi sana uende Hospitali ya Muhimbili as soon as possible (usichukulie poa ukazidi kupoteza siku,the earlier, the better), nenda pale ulizia kliniki ya HEPATITIS B (HOMA YA INI), watakupa maelekezo na utaambiwa cha kufanya. Najua ukifika pale kama hicho kipimo hukufanyia hapo watapenda kujiridhisha na kukuchukua upya hicho kipimo, pamoja na vipimo vingine kadhaa (si chini ya vipimo vitano!!).
Kama una bima ya NHIF,utapata nafuu coz vipimo vyote vimekua covered na bima,kasoro hicho cha Viral Load,ujipange uandae kama laki 3 hivi maana hakiko covered na NHIF (very unfortunately).
Baada ya majibu ya vipimo ukavyochukuliwa (itachukua kama wiki 2 hivi kupata majibu yote), then sasa daktari wako atakwambia nini kinafuata, kama ni kuanza dawa, ujaji wa kliniki, etc; hapo sasa muulize maswali yako yooteee!! (Usiogope,hii ni haki yako 100%).
Pole kwa maelezo marefu.
Kimla
Kwanza pole sana mkuu.
Pili, ugonjwa wa Hepatitis B ni kati ya magonjwa ambayo matibabu na ufuatiliaji wake yanahitaji utaalamu wa ubingwa wa ubobezi kabisa (super speciality); Na wataalamu ambao wanaweza kutoa ushauri sahihi na kukufuatilia vizuri wanaitwa Gastro-enterologists. At the very minimum, basi inatakiwa upate at least a physician mwenye uzoefu ambae ndie ataweza ku interpret majibu ya vipimo vya ugonjwa huo kwa usahihi, na kutoa ushauri na tiba sahihi kwako pamoja na ufuatiliaji wa mara kwa mara kupitia kliniki.
Kwa nini nasema hivyo??
1.Majibu ya kipimo kimoja tu hayatoshi kutoa tiba na ushauri sahihi na sanifu kwa ugonjwa huu!!
2.Tiba na ufuatiliaji wa ugonjwa huu iko complex sana!! Kwanza, sio wagonjwa wote wa ugonjwa huu watahitaji matibabu, pia kuamua nani aanze matibabu inategemea na majibu ya vipimo kadhaa kwamba yamekaaje.
3.Maamuzi ya kusimamisha/kuendelea na tiba ya ugonjwa huu (iwapo utaanzishiwa tiba) inategemea pia majibu ya vipimo vya ufuatiliaji utakavyokua unaendelea kufanyiwa huku ukiwa kwenye dawa.
USHAURI WANGU.
This is the one disease that siwezi kumshauri mtu achukue ushauri wa online kama hapa jukwaani JF,maana kama nilivyoeleza awali,kwanza ni madaktari wachache sana wenye utaalamu na experience hiyo (i am not one of them). Pia, kukupa ushauri online kunaweza kupelekea wewe kutoelewa vizuri au kupotoshwa.
Sijui hiki kipimo umepima wapi, na pia sijui majibu ya vipimo vingine ambavyo ulichukuliwa;Cha kufanya jitahidi sana uende Hospitali ya Muhimbili as soon as possible (usichukulie poa ukazidi kupoteza siku,the earlier, the better), nenda pale ulizia kliniki ya HEPATITIS B (HOMA YA INI), watakupa maelekezo na utaambiwa cha kufanya. Najua ukifika pale kama hicho kipimo hukufanyia hapo watapenda kujiridhisha na kukuchukua upya hicho kipimo, pamoja na vipimo vingine kadhaa (si chini ya vipimo vitano!!).
Kama una bima ya NHIF,utapata nafuu coz vipimo vyote vimekua covered na bima,kasoro hicho cha Viral Load,ujipange uandae kama laki 3 hivi maana hakiko covered na NHIF (very unfortunately).
Baada ya majibu ya vipimo ukavyochukuliwa (itachukua kama wiki 2 hivi kupata majibu yote), then sasa daktari wako atakwambia nini kinafuata, kama ni kuanza dawa, ujaji wa kliniki, etc; hapo sasa muulize maswali yako yooteee!! (Usiogope,hii ni haki yako 100%).
Pole kwa maelezo marefu.
Kimla