Habari wana JF,
Natumaini mnaendelea salama,mimi n mwanamke ambaye nimebahatika kuwa na shamba langu Kibaha sasa nilikuwa nataka kulima.
Je kwa mwezi huu wa january naweza lima zao gan? Maji yapo umbali wa mita 100 .
Naombeni ushauri wa zao ambalo halizidi miezi sita, mtaji wa kuwekeza muda mrefu.