Ndugu wana JF Msaada wa tablet nilinunua kwa MTU ninayo kwa takribani wiki tatu Leo imezima yenyewe na nimejaribu kuichaji haioneshi Dalili hata ya kuwaka. Msaada tafadhali
Ndugu wana jf Masada wa tablet nilinunua kwa MTU ninayo kwa takribani wiki tatu Leo imezima yenyewe na nimejaribu kuichaji aioneshi Dalili hata ya kuwaka Msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.