Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
Laptop yangu Dell XPS L502 X, Core i7
Inaniletea message kuwa Hard Disk (Toshiba) ina matatizo. Na imekuwa slow sana wakati wa kuiwasha na kuitumia. Ninatafuta technician ataerekebisha haya:
- Hiyo hard disk
- Speaker zake sijui zimechanika kwa ndani hazitoi sauti kama zamani na zinakoroma, ina JBL speakers built in. Zirekebishwe.
- Battery nilibadilisha lakini hii niliyobadili haijakaa muda (ni replacement part siyo original) haijakaa hata miezi mitatu haiweki charge kama zamani, zamani nilikuwa ninaitumia laptop hata masaa matatu bila ku recharge, sasa hivi hata dakika 15 haikai. Nitahitaji battery bora.
- Niliwekewa MS office ambayo inaniletea message kuwa inataka iwe activated, kurekebisha hii na kuweka latest version ya MS Office.
Technician ambae atakuja na kuirekebisha hayo itakuwa ni hapa hapa ofisini kwangu Sinza na sikubali iondoke nje ya hapa ofisini kwani nimeshalizwa laptop moja na fundi.
Technician aje kikamilifu kama itahitaji backup na chochote katika hayo niliyowaeleza, nenda rudi si vyema na kuwachwa bila laptop pia si vyema.
Ninaomba estimation ya hayo marekebisho nijipange.
Aliye tayari awasiliane na Mzee Abdul 0756803528 kwani mimi sijui sana mambo haya.
Inaniletea message kuwa Hard Disk (Toshiba) ina matatizo. Na imekuwa slow sana wakati wa kuiwasha na kuitumia. Ninatafuta technician ataerekebisha haya:
- Hiyo hard disk
- Speaker zake sijui zimechanika kwa ndani hazitoi sauti kama zamani na zinakoroma, ina JBL speakers built in. Zirekebishwe.
- Battery nilibadilisha lakini hii niliyobadili haijakaa muda (ni replacement part siyo original) haijakaa hata miezi mitatu haiweki charge kama zamani, zamani nilikuwa ninaitumia laptop hata masaa matatu bila ku recharge, sasa hivi hata dakika 15 haikai. Nitahitaji battery bora.
- Niliwekewa MS office ambayo inaniletea message kuwa inataka iwe activated, kurekebisha hii na kuweka latest version ya MS Office.
Technician ambae atakuja na kuirekebisha hayo itakuwa ni hapa hapa ofisini kwangu Sinza na sikubali iondoke nje ya hapa ofisini kwani nimeshalizwa laptop moja na fundi.
Technician aje kikamilifu kama itahitaji backup na chochote katika hayo niliyowaeleza, nenda rudi si vyema na kuwachwa bila laptop pia si vyema.
Ninaomba estimation ya hayo marekebisho nijipange.
Aliye tayari awasiliane na Mzee Abdul 0756803528 kwani mimi sijui sana mambo haya.