M Mwemary JF-Expert Member Joined May 25, 2016 Posts 330 Reaction score 340 Jul 19, 2016 #1 Naomba msaada wa tcu guide book y a 2016/17 kwani kesho aplication zinaanza
goodhearted JF-Expert Member Joined Feb 15, 2015 Posts 1,021 Reaction score 1,268 Jul 19, 2016 #3 Hivi hawaTCU kweli kesho watafungua mlango wa application??? Maana naona masaa yanakatika tu bila hata hiyo guide book kutolewa. sasa cjui hizo applications zitafanywaje bila kuwa na mwongozo. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari!!
Hivi hawaTCU kweli kesho watafungua mlango wa application??? Maana naona masaa yanakatika tu bila hata hiyo guide book kutolewa. sasa cjui hizo applications zitafanywaje bila kuwa na mwongozo. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari!!
Lung'wecha JF-Expert Member Joined Aug 20, 2014 Posts 927 Reaction score 575 Jul 19, 2016 #5 subiri,haijatoka
Suip JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,374 Reaction score 848 Jul 19, 2016 #6 Usiwe na haraka mtapewa muda kutosha kuomba yawezekana kuanzia 20/7 hadi 20/8 au 31/8, Cha muhimu uwe na sifa za kujiunga.
Usiwe na haraka mtapewa muda kutosha kuomba yawezekana kuanzia 20/7 hadi 20/8 au 31/8, Cha muhimu uwe na sifa za kujiunga.
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,714 Reaction score 34,871 Jul 19, 2016 #7 Hilo wameshalitolea maelezo wewe ndiyo uko nyuma kwa taarifa sidhani kama linahitaji kuanzisha thread humu
Hilo wameshalitolea maelezo wewe ndiyo uko nyuma kwa taarifa sidhani kama linahitaji kuanzisha thread humu
JoesonJosephat Senior Member Joined May 29, 2016 Posts 124 Reaction score 58 Jul 19, 2016 #8 Hujui uliza
Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,481 Reaction score 27,185 Jul 19, 2016 #9 Subiri mpaka watoe wenyewe Hiyo GuideBook usiwe na papara.
M Mwemary JF-Expert Member Joined May 25, 2016 Posts 330 Reaction score 340 Jul 19, 2016 Thread starter #10 Nawaombea wenzangu kwani mm nina GPA 2.3 ivyo nilikuwa naulizia tuu nione masharti yao kama wameachia
Nawaombea wenzangu kwani mm nina GPA 2.3 ivyo nilikuwa naulizia tuu nione masharti yao kama wameachia