kinamba
Member
- Oct 24, 2016
- 70
- 61
Naomba mwenye kutafsiri hii kitu imenikuta leo.... ni maelezo marefu kidogo lakini nimejaribu kuelezea in details zote..
Kuna kitu kimenitokea usiku wa leo inaweza kuwa ndoto lakini i feel it was more real..
Nilianza kuota kama nipo kwenye bas then nikamuona mtu ambae nilisoma nae sekondari huko (namkumbuka jina mpaka sura)..
so nikawa kama excited kumuona kisha ikawa kama nimeshuka kutoka kwenye basi tumekutana chini so tukawa kama tunataka kukumbatiana hivi alikuwa yuko na watoto kama watatu (dizaini kama anajuana nao na sio watoto wadogo kabisa miaka yao ni kama wale walio primary darasa la 5 au 6 hivi).
tukawa karibu tukawa tukakumbatiana ghafla akanibusu.... alivyonibusu tu nikawa kama nimeparalyze hivi (hii nilikuwa najiskia kama ni uhalisia sio ndoto) nikapata fahamu lakini nikawa siwezi hata kusogeza kiungo chochote (hii huwa inanitokea mara nyingi. Ikinitokea huwa nahisi kabisa siwezi kumove hata kuongea nashindwa so huwa nakemea kimoyomoyo mpaka inaachia).
Hapo hapo nikawa nahisi kama mguu wangu mmoja umenyanyuka hivi.... Ghafla nikawa najihisi kama nainuka kitandani, nikawa najitahidi niweze kufungua macho so katika kuhangaika kufungua macho nikafanikiwa kidogo ( hapa nilikuwa nahisi kabisa kama mtu ananivuta mguu..)
sasa cha kushangaza nilipokuwa nimefungua macho kidogo nikajiona mtu kama mimi bado nimelala kitandani lakini hapohapo najihisi kabisa hapa nainuka... so huyu mimi ambae najihisi nainuka nikachukua kiwiko changu nikajiwekea shingoni kwa huyu mimi niliolala nikawa kama najikaba hivi.. so baada ya sekunde kadhaa ndio hiyo hali ikaacha ndo kama fahamu Zikanirudia nikaweza kumove viungo vyote (mwanzo nilijihisi kama nimeparalyze hivi)..
NB: huwa siangalii horror movie zozote au zozote zenye mambo ya kichawi
Natanguliza shukrani
Kuna kitu kimenitokea usiku wa leo inaweza kuwa ndoto lakini i feel it was more real..
Nilianza kuota kama nipo kwenye bas then nikamuona mtu ambae nilisoma nae sekondari huko (namkumbuka jina mpaka sura)..
so nikawa kama excited kumuona kisha ikawa kama nimeshuka kutoka kwenye basi tumekutana chini so tukawa kama tunataka kukumbatiana hivi alikuwa yuko na watoto kama watatu (dizaini kama anajuana nao na sio watoto wadogo kabisa miaka yao ni kama wale walio primary darasa la 5 au 6 hivi).
tukawa karibu tukawa tukakumbatiana ghafla akanibusu.... alivyonibusu tu nikawa kama nimeparalyze hivi (hii nilikuwa najiskia kama ni uhalisia sio ndoto) nikapata fahamu lakini nikawa siwezi hata kusogeza kiungo chochote (hii huwa inanitokea mara nyingi. Ikinitokea huwa nahisi kabisa siwezi kumove hata kuongea nashindwa so huwa nakemea kimoyomoyo mpaka inaachia).
Hapo hapo nikawa nahisi kama mguu wangu mmoja umenyanyuka hivi.... Ghafla nikawa najihisi kama nainuka kitandani, nikawa najitahidi niweze kufungua macho so katika kuhangaika kufungua macho nikafanikiwa kidogo ( hapa nilikuwa nahisi kabisa kama mtu ananivuta mguu..)
sasa cha kushangaza nilipokuwa nimefungua macho kidogo nikajiona mtu kama mimi bado nimelala kitandani lakini hapohapo najihisi kabisa hapa nainuka... so huyu mimi ambae najihisi nainuka nikachukua kiwiko changu nikajiwekea shingoni kwa huyu mimi niliolala nikawa kama najikaba hivi.. so baada ya sekunde kadhaa ndio hiyo hali ikaacha ndo kama fahamu Zikanirudia nikaweza kumove viungo vyote (mwanzo nilijihisi kama nimeparalyze hivi)..
NB: huwa siangalii horror movie zozote au zozote zenye mambo ya kichawi
Natanguliza shukrani