.
epukana na myth hzo kabsa kabsa..
.
unamshauri mwenzako aiuze ili anunue android...
.
huwezi jua mwenzako anafurahia vp kuwa na symbian... NOKIA kuachana na symbian haimaanish kuwa ndo hamna apps kabisa za SYMBIAN au ulisikia apps zote za SYMBIAN anatengeneza NOKIA ... Hata iweje SYMBIAN zitabaki till the end of the UNIVERSE walilijua hli NOKIA.. ndo mana hawaku create tym ya kwamba ziwe expired... nakwambia kiongozi na nokia ni akili zao tu za ajabu ziliwatuma waiache symbian... We jiulize symbian kama N73 ina play GTA vice city tena 3D sio 2D yakishamba yale katafute zile NGAGE games ndipo utaielewa SYMBIAN ikoje ndo mana me namkubali sana AJIT37 jamaa mpaka sasa anaisupport symbian... Me ni ANDROID PURE kabsa ila siwez mshauri Symbian user ahamie huku mana sijui anapata raha gani kule... I ll blame NOKIA until they leave WINDOWS P..