Wewe jamaa unajua magari Asee, itakuwa ndio ulevi wako. Siku nikizifuma hela Nitakutafuta Asee unipe maushauriSijui off road unamaanisha nini hasa, ila 3 series haifai kwenye hilo. Iko chini saana na suspension ni sporty. Kwenye Forester na X3, binafsi nitakwenda Forester, model ya kuanzia mwaka 2008. X3 ya kwanza haikuwa nzuri kuvile, ni kama jamaa walikuwa wanajifunzia hapo kuingia kwenye segment ya small SUVs. Ila Forester 2nd and 3rd gen ziko poa.
Ulaji wa mafuta, X3 iko vizuri, kama utachukua ya engine ndogo. Forester iko juu kidogo kwenye mafuta sababu ya AWD.
Kwenye off roading, the Forester is a clear winner hapo.
Hehehee. Karibu mkuu.Wewe jamaa unajua magari Asee, itakuwa ndio ulevi wako. Siku nikizifuma hela Nitakutafuta Asee unipe maushauri
Mzee baki tu na mpenzi wako carina, huku kwengine utajutaMatoleo ya Subaru ya kuanzia 2003 - 2007 nahisi ndiyo Bora Kwa mtazamo wangu..
Upo sahihi Mkuu huku Kwenye Subaru unaweza kuwa chizi ukitajiwa bei ya spare zake.Mzee baki tu na mpenzi wako carina, huku kwengine utajuta
Kuna kitu kinaitwa Fortunate yan Subaru ya 2008, Bmw X3 ni Mrembo sana kwenye Rough RoadWakuu polen na majukumu!!
Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3...
ushauri huo naomba ulenge kwenye
>>> ulaji wa mafuta
>>>gharama za vipuri
>>>uimara wa gari
>>>upatikanaji wa mafundi wa kuaminika
NB: MATUMIZI YA GARI YATAKUA NI OFF-ROAD KIDOGO
ASANTENI SANA!!
Kwakweli ,
Nahisi huwenda bado anamawazo/mtazamo wa kale kuhusu brand za magari nje ya Toyota.
Maana zamani, watu walikua na mtazamo, gari ni moja tu 'Toyota' nje ya Toyota hakuna gari.
Wakitumia vigezo vya namna hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina....
ila zipo toleo hilo hilo (SH5) lina turbo... ki urahisi utaiona ina kamdomo hapo kwenye boneti
Haina....
ila zipo toleo hilo hilo (SH5) lina turbo... ki urahisi utaiona ina kamdomo hapo kwenye boneti
Haina....
ila zipo toleo hilo hilo (SH5) lina turbo... ki urahisi utaiona ina kamdomo hapo kwenye boneti
Zipo nyingi yard jaribu kutembelea maeneo ya Kinondoni,Sinza, mikocheni, kawe, MWENGE na kijitonyama hauwezi kukosaKuna Yard hapa mjini inauza hizi Forester?
Zipo nyingi yard jaribu kutembelea maeneo ya Kinondoni,Sinza, mikocheni, kawe, MWENGE na kijitonyama hauwezi kukosa
Toyota wao wame base sana na natural aspired engines ingawa turbo walikua nazo kwny baadhi ya engine zao kama kwny (1JZ/2JZ/3S)-GTETurbo ni nn
Faida
Hasara
Sisikiaki toyota ikizungumziwa turbo turbo haina au sio maarufu
Iyo natura aspired engine ndo ipojeToyota wao wame base sana na natural aspired engines ingawa turbo walikua nazo kwny baadhi ya engine zao kama kwny (1JZ/2JZ/3S)-GTE