....Sijakuambia unifanyie Research bali mawazo tu, hii pia ni njia mojawapo ya kupata title nzuri coz hapa mtandaoni naamini kunavichwa vingi...by the way refer to 'Delphi technique' utanielewa nnachomaanisha...Sijui tunaelekea wapi na elimu yetu. Can you imagine a Masters Degree student doesn't know what to research about and comes on social media to ask for help?? Masters Degree??
The original thought must be built on the student's self reading...extensive reading then generate ideas on which gaps still exist.
The student must command on what he wants to find about then get guided by the supervisor.
But coming on social media to ask the public for "ideas" will compromise the quality of your degree. Do it yourself and be proud of it upon success. Read, read, read, read, ... Then write.
Asante sana mkuu nimejifunza kitu,...''Integrating the Use of Mobile Money Services for Improving Livelihoods and General Welfare of Peasants in Rural Areas''
A case of Uvinza District, Kigoma Region, Tanzania.
Jokes aside: Katika level ya Masters degree, nakushauri uchague kitu unachokienda zaidi na sana sana angalia unataka career yako ielekee wapi. Undergradute watu wengi huwa wanapuyanga chochote tu ali mradi degree ipite. Kwa Masters ni tofauti. Chagua topic itakayokururahisha na itakayosaidia jamii pia.
Ninawafahamu watu wawili watatu waliojuta kimyakimya katikati ya safari baada ya kukubari ''kuchaguliwa'' topics na supervisors wao.
...mkuu unatakiwa uongee na immediate supervisor wako m'brainstorm baadhi ya idea zinazoendana na field yenu. Na siku zote title ni kitu cha mwisho kabisa na wala sio cha msingi sana kwenye research yoyote. Cha msingi unachotakiwa kutafuta kwa sasa ni idea ambayo inascientific validity na either imejibiwa zamani sana (so wewe unataka kucheki situation ikoje kwa sasa) au imefanyika eneo tofauti na wewe ulipo (so unataka kuona situation iko vipi kwa eneo la hapa) au ni jambo jipya kabisa halijawahi kutokea.
Lastly usiwe mvivu, google key words za "Mobile money" utapata publication kadhaa zilizofanyika sehemu nyingine, then soma hata abstracts zake mbili tatu utakuwa na wakati mzuri wa kuongea sasa na supervisor wako kuwa nini unaweza kufanya.
Ukishafanya kazi yako vizuri kabisa utaiona "title yako inakuja yenyewe mbele yako"
Best regards,
Mobile Money namaanisha Mpesa,Tigo pesa and related.
Ndo mambo ya maharage ya mbeya hayaSijui tunaelekea wapi na elimu yetu. Can you imagine a Masters Degree student doesn't know what to research about and comes on social media to ask for help?? Masters Degree??
The original thought must be built on the student's self reading...extensive reading then generate ideas on which gaps still exist.
The student must command on what he wants to find about then get guided by the supervisor.
But coming on social media to ask the public for "ideas" will compromise the quality of your degree. Do it yourself and be proud of it upon success. Read, read, read, read, ... Then write.
IRDP useless fellow don't misref Dr. SafariMkuu research zote zinazofanywa zinarudiwa hakuna jipya,Kuna Dr mmoja anaitrwa safari anasema watu tayari washa_search ndo maana now inaitwa research.
IRDP?IRDP useless fellow don't misref Dr. Safari
Nachukua MBA. Finance kaka,..
Bora aliwe kichwa tu. Mpaka kuja huku kutafuta topic hajielewi.Mkuu hebu rudia research ya mtu uone.!
Tafuta tatizo la kawaida/hot ambalo wakati wa kulifanya halitokugharimu pesa nyingi, na upatikanaji wake wa data uwe wa njia ambayo haiitaji approval ya Authorities. Data zake zipatikane kwa ama njia ya administration of Questionnaire au Observation.Habari zenu wadau mimi ni mwanafunzi wa masters nategemea kufanya dessertation.Hivyo naomba mawazo juu ya topic nzuri ya research.
NB:Wazo lako lijikite katika masuala ya Mobile Money,sababu niko interested eneo hilo. Karibuni.
Point nzuri kaka ila inapendeza mtu anapoomba ushauri anakuja na mawili matatu (ideas) ambazo anadhani anatamani afanye alafu watu wanajazia au wengine wanamshauri vininevyo kikubwa mwisho wa siku ile idea yake inakuwa imezaa kitu kingine kutokana na contribution, amefanya vyema kuleta hapa jamvini ila mie ningemuuliza hapo kwenye mobile money nini hasa anatamani kufahamukutafuta ushauri ni bora zaidi kuliko kujifanya unajua ukaharibuu...acheni kukatisha MTU tamaa kaja kuuliza iliapate ushauri ajaja kurumbana kama mnavyo fanya...kama huna LA kumshauri kaa kimya sio unabwabwaja tu bila logic....aulizae si mjinga ila ataka kujua....