Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Naombeni msaada wa platform ambayo unaweza kuwela hela zako na kujizalisha kwa kuwa tafuta watu yaani kila mtu atakaye join kupitia wewe uwe unapewa kiasi chako.
Kwa Kenya zipo nyingi ila kwa hapa Tanzania najua moja tu mfano kama vile global alliance ila isiwe ina mtaji mkubwa kama wa global alliance mtaji usizidi laki Mwenye kujua naomba anisaidie asante.
Kwa Kenya zipo nyingi ila kwa hapa Tanzania najua moja tu mfano kama vile global alliance ila isiwe ina mtaji mkubwa kama wa global alliance mtaji usizidi laki Mwenye kujua naomba anisaidie asante.