Msaada wa namna ya kujaza mkopo HESLB

Msaada wa namna ya kujaza mkopo HESLB

Meshacky Allyson

Senior Member
Joined
Oct 29, 2020
Posts
130
Reaction score
252
Wadau mambo vipi
IMG_20230919_185747.jpg
 
Ndugu yangu kwanza pole kwa changamoto hiyo,ila ushauri mzuri tu napendekeza uende internet cafe ukaendelee na hiyo process kwa maana wao washakua wazoefu
 
Wadau nimekwama ndio nimeanza leo harakati za kuomba mkopo.. nimekwama hatua za mwanzo kbsa..yaan nimelipia naanza weka password na na jibu laswali iwapo password ikipotea...sasa naona inaniandikia hivi..
Natokaje hapa wadau..
Yaan mapema hivi ishaanza kuwa jau..[emoji22]
Natumia simu.. au sababu ndio hiyo.


View attachment 2754987
ukiona imeandika hivi
nenda moja kwa moja kwenye page ya log in as registered user
maana yake apo umeshajisajili
 
Aliyefanikiwa eneo la demographics please.
 
Naomba nikutumie details unisaidie mkuu
picha nikienda stationary waka risize hizo picha nikatumiwa kwenye simu nami nikazituma,nadhan ungeenda stationary wakarisize hizo passport size
 
Back
Top Bottom