Msaada wa namna ya ku-root simu ya huawei y300

Msaada wa namna ya ku-root simu ya huawei y300

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Natumai muwazima wa afya, wanajamvi nahitaji msaada wenu mimi natumia simu aina ya Huawei y300,nataka kui root naombeni mwenye uelewa juuya hiyo simu anisaidie namna ya ku root. napia nikiiroot itakuwa inamadhara gani na nini faida ya kui root?
 
Natumai muwazima wa afya, wanajamvi nahitaji msaada wenu mimi natumia simu aina ya Huawei y300,nataka kui root naombeni mwenye uelewa juuya hiyo simu anisaidie namna ya ku root. napia nikiiroot itakuwa inamadhara gani na nini faida ya kui root?

tumia towel root thn uta press make it rain...
rooting unafaida nyingi sna..kubwa ni ku unistall system app....pia kuweka custom rom ,kuna apps nzur uta enjoy kam titanium back up,greenify etc
hasara zke ni unawza brick simu yko..
 
tumia towel root thn uta press make it rain...
rooting unafaida nyingi sna..kubwa ni ku unistall system app....pia kuweka custom rom ,kuna apps nzur uta enjoy kam titanium back up,greenify etc
hasara zke ni unawza brick simu yko..
Nashukuru ila nime jaribu Towel root imekataa inaniambia No supporty fo huawei y300
 
Natumai muwazima wa afya, wanajamvi nahitaji msaada wenu mimi natumia simu aina ya Huawei y300,nataka kui root naombeni mwenye uelewa juuya hiyo simu anisaidie namna ya ku root. napia nikiiroot itakuwa inamadhara gani na nini faida ya kui root?

unlock bootloader
 
na mm napenda sana kufanya root ila nimejaribu apps tofauti tofauti ila nimeshindwa natumia samsung s3 gt i9300 naomba msaada

ingia google seach rootgenius itakusaidia mkuu
 
Natumai muwazima wa afya, wanajamvi nahitaji msaada wenu mimi natumia simu aina ya Huawei y300,nataka kui root naombeni mwenye uelewa juuya hiyo simu anisaidie namna ya ku root. napia nikiiroot itakuwa inamadhara gani na nini faida ya kui root?

Root ni nn? nisaidiwe tafadhali!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom