Msaada wa nafasi ya kazi

Msaada wa nafasi ya kazi

Edta

Member
Joined
Nov 30, 2018
Posts
20
Reaction score
3
Habari zenu wanajamvi?

Nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kazi. Niko na ndugu yangu amesomea Civil Engineering. Ametafuta kazi bila mafanikio. Yuko vizuri sana Kichwani na kiutengaji.

Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu wanajamvi?
Nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kazi. Niko na ndugu yangu Amesomea Civil Engineering.. Ametafuta kazi bila mafanikio.. Yuko vizuri sana Kichwani na kiutengaji..
Natanguliza shukrani.
Civil Engineering amekosa kazi? Seriously? Hakufanya field popote wakati akisoma? Acha kuifananisha Civil na mambo ya kijinga!
 
Civil Engineering amekosa kazi? Seriously? Hakufanya field popote wakati akisoma? Acha kuifananisha Civil na mambo ya kijinga!
Kwhyo mkuu ukifanya field sehem ndo hapo hapo utapata kazi? Kama ingekuwa hivyo bas kila anaemaliza chuo angepata kaz maana hakuna ambae hajwah kufanya field somewhere.

Pili, kwan civil n nini? Watu weng tuu na macivil yao wanakula msoto kitaa mbona. Wnapata pata vikaz vya mda mfupi vikiisha wanaanza tena kuzurura mtaan.
 
Kwhyo mkuu ukifanya field sehem ndo hapo hapo utapata kazi? Kama ingekuwa hivyo bas kila anaemaliza chuo angepata kaz maana hakuna ambae hajwah kufanya field somewhere.

Pili, kwan civil n nini? Watu weng tuu na macivil yao wanakula msoto kitaa mbona. Wnapata pata vikaz vya mda mfupi vikiisha wanaanza tena kuzurura mtaan.
Kiukweli siwezi kulaumu kitu.
Kwa Sasa hivi ajira zimekuwa ngumu kwa kila fani.
Ukizingatia contractors hawapati tenda kutoka serikalini Kama ilivyokuwa enzi ya JK.
Kwa hiyo kutokana na Hilo inahitaji akili nyingi sana na connections za kutosha kuweza kupata kazi ya kuendesha maisha.
Kitu pekee ambacho kitamuokoa ni kuweza kujifunza vitu vingi vingi Kama ana nafasi.
Kwa mfano yeye Kama amesoma General Civil Engineering,anaweza kuomba kazi au Internship kwenye kampuni za Survey Kisha akajifunza kiundani jinsi ya kufanya survey inaweza ikamsaidia.
Au anaweza kwenda kwenye kampuni za well drilling akajishikiza kupata uzoefu pia iko poa.
Uzur wa hizi kampuni nilizozitaja hapo huwa wanapata tenda na dili ndogondogo za mtaani kwa haraka ukilinganisha na highway & building contractors.
Yaani asikariri kwa vile amesoma Civil Engineering Basi ni lazima afanye kazi za highway na building construction.
Akiwa na hii philosophy atatoboa soon.
 
Habari zenu wanajamvi?

Nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kazi. Niko na ndugu yangu amesomea Civil Engineering. Ametafuta kazi bila mafanikio. Yuko vizuri sana Kichwani na kiutengaji.

Natanguliza shukrani.
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Huduma ya kutafutiwa kazi gharama yake ni Tsh 10,000. Kwa mawasiliano 0769 524 022.
 
Nimekuelewa mkuu..
Uko wapi wewe?
Kiukweli siwezi kulaumu kitu.
Kwa Sasa hivi ajira zimekuwa ngumu kwa kila fani.
Ukizingatia contractors hawapati tenda kutoka serikalini Kama ilivyokuwa enzi ya JK.
Kwa hiyo kutokana na Hilo inahitaji akili nyingi sana na connections za kutosha kuweza kupata kazi ya kuendesha maisha.
Kitu pekee ambacho kitamuokoa ni kuweza kujifunza vitu vingi vingi Kama ana nafasi.
Kwa mfano yeye Kama amesoma General Civil Engineering,anaweza kuomba kazi au Internship kwenye kampuni za Survey Kisha akajifunza kiundani jinsi ya kufanya survey inaweza ikamsaidia.
Au anaweza kwenda kwenye kampuni za well drilling akajishikiza kupata uzoefu pia iko poa.
Uzur wa hizi kampuni nilizozitaja hapo huwa wanapata tenda na dili ndogondogo za mtaani kwa haraka ukilinganisha na highway & building contractors.
Yaani asikariri kwa vile amesoma Civil Engineering Basi ni lazima afanye kazi za highway na building construction.
Akiwa na hii philosophy atatoboa soon.
 
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Huduma ya kutafutiwa kazi gharama yake ni Tsh 10,000. Kwa mawasiliano 0769 524 022.
👏👏👏
 
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Huduma ya kutafutiwa kazi gharama yake ni Tsh 10,000. Kwa mawasiliano 0769 524 022.
Jitafutieni nyie kwanza...mbona mnataka kunyonya watu.. elfu 10...tafuteni nyie kwanza kazi za maana
 
VP kwa mtu aliesomea Postgraduate ya civil haswa structure na ana degree ya uinjinia wa mifumo ya maji ( water supply systems) unamchukua
Kama ni jinsia KE naomba unijibu haraka kuna nafasi moja hapa mjini hapa kwa mtu aliesoma Civil.

Shukrani
 
Kwhyo mkuu ukifanya field sehem ndo hapo hapo utapata kazi? Kama ingekuwa hivyo bas kila anaemaliza chuo angepata kaz maana hakuna ambae hajwah kufanya field somewhere.

Pili, kwan civil n nini? Watu weng tuu na macivil yao wanakula msoto kitaa mbona. Wnapata pata vikaz vya mda mfupi vikiisha wanaanza tena kuzurura mtaan.
Well said
 
Back
Top Bottom