kwamba unaupendo hivyo kwa rafiki yako ha ha ha ha jombaaa ukisema wewe mwenyewe utakuwa umepungukliwa na nini??? sometimes mnajikosesha bahati sababu ya kujificha vivuri ambavyo si vyenu mana mwingine hatokupa hizo ABC sababu sio we muhusika atataka rafiki akoi aseme kumbe wewe ndo muhusika...acheni kuwa kama minduku....