Msaada wa mawazo

Msaada wa mawazo

Jiwe kuu01

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
228
Reaction score
86
Habari wana JF polen na pia hongeren kwa mihangaiko ya dunia,
Wakuu Nina Rafiki yangu Anahitaji msaada wa mawazo yenu

Huyu jamaa amemaliza six mwaka huu
Alivyorudi2 kutoka shule (Baada ya kumaliza mtihani wa Taifa) akatuma maombi ya diploma kwenye moja ya vyuo hapa nchini.

Baada ya matokeo kutoka akawa amefaulu kwa ufaulu unaomwezesha kusoma degree kwahiyo akaachana na wazo la kwenda kusoma diploma akatuma maombi kwenye vyuo vingine vya degree, lakin kwa awamu hii ya Kwanza hajachaguliwa hata chuo kimoja

Leo amepokea Code kutoka nacte wakimtaka aingie kwenye website yao aangalie uhakikisho wa chuo alichochaguliwa

Je Kuna effect zozote ambazo zinaweza jitokeza kwayeye kuomba vyuo kwa ngazi mbili tofauti?

Je Jambo Hilo ndilo ambalo limesababisha ashindwe kuchaguliwa katika awamu hii ya Kwanza?

Msaada wenu wakuu
 
hakuna effect mkuu nacte na tcu mkuu unaweza apply degree na diploma kwa wakati mmoja kila watu wanajitegemea hapo labda kama unatumia matokeo ya diploma kwenda degree hapo lazima uwahusianishe
 
hakuna effect mkuu nacte na tcu mkuu unaweza apply degree na diploma kwa wakati mmoja kila watu wanajitegemea hapo labda kama unatumia matokeo ya diploma kwenda degree hapo lazima uwahusianishe
Shukran Sana mkuu nimekupata vzr aseeh
 
Back
Top Bottom