Ila usipenda kuwepo sehemu zenye mikusanyiko ukiachana na chuo, kwa maana Iran INA maadui wengi sana Wa ndani na nje. Pia kumbuka lile ni taifa la KIISLAM, ukifika tulia yasome mazingira vizuri, uliza wenyeji then changanya na zako.
habari zenu wakuu!mimi n mtanzania niliepata ufadhili wa kwenda kusoma iran program DOCTOR OF MEDICINE,kwa mnavoijua iran mngenishauri nende au niikache mana cna idea yyote about iran in case of their education
Wewe nenda kasome.tutokujua sio Tatizo,kwani mwanadam huzaliwa na elimu ambayo nayo huchochewa na mwalim. Walisema idealists .nakushauli uende mans na mm mwana idealist mdogo.
Wewe nenda kasome.tutokujua sio Tatizo,kwani mwanadam huzaliwa na elimu ambayo nayo huchochewa na mwalim. Walisema idealists .nakushauli uende mans na mm mwana idealist mdogo.
Ila usipenda kuwepo sehemu zenye mikusanyiko ukiachana na chuo, kwa maana Iran INA maadui wengi sana Wa ndani na nje. Pia kumbuka lile ni taifa la KIISLAM, ukifika tulia yasome mazingira vizuri, uliza wenyeji then changanya na zako.
Nyi vijana mnapenda mtelezo kuna mwenzako yupo ujerumani sasa hivi analia anataka kurudi na we we unataka kwenda huko Iran unapasikia au unapajua tu rip ukienda huko
Nyi vijana mnapenda mtelezo kuna mwenzako yupo ujerumani sasa hivi analia anataka kurudi na we we unataka kwenda huko Iran unapasikia au unapajua tu rip ukienda huko