Pole sana mkuu, maana nimeandika kisha nikafuta. Nikaandika tena, nikafuta.
Mwisho nikaona nikupe pole tu
Kama hujawahi mtoa bikra, wewe kwa sasa uko sawa na yule aliyemtoa bikra akamwacha, hivo utakua na uhalali wa kushika simu yake pale utakapokua umetoa mahari na kumuoa jumla.
Kwa sasa ame bet wanaume anaowataka, incase utamtema awe na sehemu ya kujishikisha, hata kama ushamuhakikishia utamuoa.
Kwa nini unaniambia hivyo labdaUna moyo wa kike Sana Kaka ,hayo unayoyapotia ndio wanayapitia wanawake kwa % kubwa
Kiufupi huyo mwanamke hastahili kuwa na wewe
Nashukuru mkuuHuyo atakuwa na mtu wake tena anampenda kuliko wewe achana nae hamko safari moja huyo tena anajua ata ukimwacha hana cha poteza wala cha kumuumiza juu yako. Jiongeze kiongozi
Braza usije ukampiga mtu risasi za kichwa bure kwa stress,..panganika mapemaa hapo sio.
Mbona mi nlikuwa nacheat ila nlivoolewa nikaachaHayo yamenikuta.....moyo unaniuma but imenisaidia kujua kumbe alkuwa ananichiti ndio maana simu yake aliiweka mbali na hataki niiguse....
Mapenzi yakifika hapo ujue yapo ICU.....anaoshwa na x wake....namm ilkuwa hvohvo,alisema washaachana kumbe wanakulana......yaan kudeti Hawa wasio bikra n sawa na kuoa mwanamke wa mtu...jiandae kwa lolote Ila hapo hakuna ndoa yenye amani...
Kuchitiwa kunaumiza Sana
yaani we kijana umenichekesha ivi kweli yupo ally, Moses, Jackson, na baba nanii yule mke wake ni mwalimu msg zinaingia muda wooote akupe simu ili?? Ushauri wa ujenzi si alikuwa anatoa kwa mpenz wake yule aloanza kujenga kabla yako
Na hii ndio inaniumiza zaidi. Ananificha kitu gani aiseeKuna jambo LA kutafakari mume mtarajiwa kunyimwa simu hainiingiii akilini
Ebu kwanza tulia....ni mchumba au ni wapenzi kama alivyo na wapenzi wengine wasojulikana? Maana mnapendaga kupandisha vyeo mahusiano kabla ya kufuata taratibuYaani wewe dada nahisi una connection kabisa na huyu mchumba wangu hapo kwenye ujenzi aisee
Achana naye mara MOJAHabari wakuu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu binti kwa zaidi ya mwaka mmoja na malengo yetu ni kufunga ndoa halali ya kanisani next year.
Changamoto kubwa niliyonayo ni usiri wa huyu binti kwenye simu yake. Kwa mwaka mzima nimefanikiwa kushika simu yake mara moja na nilikuta sms ya mapenzi ila akasema ni X wake anajaribu kuomba warudiane.
Of course tuliongea na tukayamaliza. Baada ya hapo sikushika tena simu yake kwa zaidi ya miezi sita. Kuna siku nilijaribu tena kuishika lakini ilikataa katakata na tuligombana na kukata mawasiliano mpaka dada akaja akatupatanisha na huyu binti akasave password yake kwenye simu yangu.
Imepita kama miezi mitatu sikuangaika na simu yake. Jana nilijaribu kuichukua na kuifungua lakini nikakuta kabadilisha password. Nilimuomba anifungulie akagoma tena.
Nilimuacha kwa muda nikijua kuwa kama kuna mambo yake atayafuta lakini baada ya masaa kama mawili nikamuomba tena anifungulie akakubali kwa masharti nimwambie nachotaka kukiona anionyeshe nikamwambia hapana. Nahitaji kuangalia mwenyewe akanijibu straight kuwa hataki.
Kumbuka kabla ya kumuomba simu niliongea nae sana na nikamjulisha juu ya lengo letu so kama anahisi muda wake wa kuingia kwenye ndoa haujafika anijuze tu ili asinipotezee muda maana mimi lengo langu ni kuwa na familia.
Wakuu nishaurini. Huyu binti niko nae safari moja au napoteza tu muda wangu? Kumbuka kuwa yeye yupo free sana na simu yangu na wala haina password.
Niseme tu ukweli kuwa sijawahi kumuhisi kuwa na mahusiano mengine na upande wa maisha ni mtu ambae anajielewa na alinishauri viti vingi sana wakati nafanya ujenzi.
Nashindwa tu kuelewa kwenye simu yake ni kitu gani hicho muhimu kwake ambacho hataki mimi nikijue na yupo radhi nimuache lakini sio kuniruhusu nishike simu yake.
Hapa nilipo bado nina ugomvi nae tangu jana na nawaza nifanye maamuzi gani.
Asanteni kwa ushauri wenu