Msaada wa mawazo kuhusu masomo

mumanyi

Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
19
Reaction score
4
Mdogo wangu alifanya mtihani wa kwanza akawa na C mbili za geografy na history.Akaresit sasa amepata C moja ya History.Je anaweza kwenda advance private kwa kutumia mitihan miwili hyo? au anaweza kupata mahali pa kwenda? naomba mnielekeze nipate kumsaidia mdogo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…