Alex Manonga
Senior Member
- Oct 8, 2010
- 155
- 87
Wakuu,
Niliweka luku ya sh 45,000 tarerhe 1 mwezi huu katika nyumba yenye vyumba 4. Jana niliporudi nyumbani usiku umeme ulikuwa umeisha. Je, ni kawaida au luku yangu ni mbovu?
Niliweka luku ya sh 45,000 tarerhe 1 mwezi huu katika nyumba yenye vyumba 4. Jana niliporudi nyumbani usiku umeme ulikuwa umeisha. Je, ni kawaida au luku yangu ni mbovu?