Msaada wa kuweka window 10

Hizo F1 mpaka F12 zinatofautiana baina ya pc na pc unataka kupata kitu gani?
 
Unaweza ukaingia bios mara nyingi ni F2 halafu ukachagua boot order ya kwanza iwe ni mlango wa cd ama port uliochomeka flash ya window halafu save and restart itaanza kuboot na kuweka windows.
Kwenye boot priority order
1. USB FDD
2. ATA HDD
3. ATAPI CD
4. USB HDD
5. USB CD
6. PCI LAN
 
Ukichomeka usb ama cd litakuja kabisa jina lake ili usichanganye
Samahani Chief, niliburn dvd ya window 10 lakini bado sijafanikiwa kufanya installation ya hyo window mana siioni kweny pc japo nimeburn kawaida sijaburn kama IMAGE je inaweza ikawa ndipo penye tatizo?
 
Samahani Chief, niliburn dvd ya window 10 lakini bado sijafanikiwa kufanya installation ya hyo window mana siioni kweny pc japo nimeburn kawaida sijaburn kama IMAGE je inaweza ikawa ndipo penye tatizo?
Vyema burn kama image mkuu kuondoa utata, burn lile file la .iso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…