Mkuu nimeiona ipo, ina kuna inajitokeza kweny kuingiza window/setup nikipress F12 hainipeleki kwenye options zingine isipokuwa inaniuliza kama kuna tatizo la kurestart pc, nikienda F12 nashindwa kabisa kutambua naendeleaje mana kuna taari3a naziona INFORMATION CONFIGURATION SECURITY BOOT EXIT