Msaada wa kutrack simu iliyoibwa

Msaada wa kutrack simu iliyoibwa

Alexander McQueen

Senior Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
186
Reaction score
41
Jamani habari za wakati wana jf nimeibiwa cm Aina ya TECNO K7 fingerprint na IMEI ya hiyo cm ipo nifanyenyeje msaada tafadhari?
 
Kwa tecno labda auziwe fara ndio utaipata inauma lakini ndio ukweli
 
Jamani habari za wakati wana jf nimeibiwa cm Aina ya TECNO K7 fingerprint na IMEI ya hiyo cm ipo nifanyenyeje msaada tafadhari?
Nenda police karipoti.

Ingawa uwe na moyo juu ya gharama. Hazitabiriki.

Kama uko vizuri si ununue nyingine tu
 
Nenda police karipoti.

Ingawa uwe na moyo juu ya gharama. Hazitabiriki.

Kama uko vizuri si ununue nyingine tu
polisi wanazingua kna jamaa lang kaibiwa laptop wanaxma ip address zinahtajka kawapatia ila bado ni miyeyusho tu inaelekea mwezi
 
Polisi wetu hawa wana track vifaa vya bei nzuri tu ambavyo wanajua na wao watapata ulaji na pesa za bia na nyama choma...

Lakini hizi simu/tecno za 100k - 150k hata usipoteze muda wako, Wekeza nguvu tu kutafuta pesa ya kununua nyingine..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom