vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 533
- 215
Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufaham wa kupata mafao ya NSSF endapo mwajiri hajakupatia barua ya kukuachisha kazi.
Duuu mkuu, mimi na mambo ya ajira wapi wapi. Sina ufahamu wa kutosha wa mambo hayo.
Unaweza weka hapa sababu za yeye kutokupatia hiyo barua?Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufaham wa kupata mafao ya NSSF endapo mwajiri hajakupatia barua ya kukuachisha kazi.
Aisee si unaweza kufaMwajiri wako anaeleweka ?
Make wale watu unaweza kwenda kudai mafao wakakwambia kuwa mwajiri wako hajawahi kuwasilisha malipo yako kwa kipindi Cha miaka mitatu mfurulizo
Sawa mkuuDuuu mkuu, mimi na mambo ya ajira wapi wapi. Sina ufahamu wa kutosha wa mambo hayo.
Unakufaje wakati ulikuwa na uwezo wa kufatilia michango yako wakati upo jobAisee si unaweza kufa
Ngumu kupata kama hana hio barua ya kuachishwa kazi ambayo angeambatanisha pamoja na viambatanisho vingine